Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United yawekeza

Saturday , 16th Dec , 2017

Klabu ya Singida United imewekeza kwa vijana baada ya kuwanasa vijana wanne waliokuwa na timu ya taifa ya vijana wa umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys iliyoshiriki michuano ya AFCON 2017 nchini Gabon.

Singida United imeeleza kuwa hatua hiyo nni mipango ya klabu katika kusaidia vijana wenye vipaji na vimeshaonekana katika ngazi ya taifa.  Pamoja na hilo usajili huo umeelezwa kuwa ni mipango ya maboresho ya kikosi hicho kuwa na timu imara itakayodumu kwa muda mrefu.

Vijana waliosajiliwa ni aliyekuwa nahodha wa Serengeti Boys, Issa Makamba ambaye anacheza nafasi ya kiungo wa kati, mshambuliaji Assad Juma, mlinzi  Ally Ng’azi na mshambuliaji Mohamed Abdallah.

Wachezaji hao wanne wamesaini mkataba wa miaka mitatu kila mmoja na wamelipwa Ada ya usajili (Signing fee) pamoja na stahiki zao zingine ambazo wataendelea kulipwa ikiwemo mishahara.

Katika usajili huu wa dirisha dogo Singida United imeongeza nyota kadhaa ambao ni Daniel Lyanga kutoka Fanja ya Oman, mwingine ni Lubinda Mundia kutoka Zambia pamoja na mshambuliaji kutoka DRCongo Kambale Salita 'Papy Kambale'.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi