Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi atangaza mabadiliko

Tuesday , 5th Dec , 2017

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba Emmanuel Okwi baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ndani ametangaza kubadili jina analotumia kwenye mitandao ya kijamii.

Okwi ambaye jumamosi iliyopita ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ndani ya Uganda wa msimu uliopita wa 2016/17, amebadili kwenye ukurasa wake wa Instagram kutoka lile la awali ambalo alikuwa anatumia (@emmosting) na sasa ametangaza kuanza kutumia jina lake la (@emmanuelokwi).

Jina hilo amelitangaza leo kupitia ukurasa wake huo wa Instagram akiwajulisha mashabiki wake ambapo ameendika, “Tafadhali pokeeni hii taarifa ya jina langu jipya nitakalokuwa natumia”.

Nyota huyo amekuwa kwenye kiwango kizuri tangu msimu uliopita aliporejea kwenye klabu yake iliyomlea na kukuza kipaji chake ya Sports Club Villa ya Uganda kabla ya kutua kwenye klabu ya Simba msimu huu.

Mganda huyo ndiye kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2017/18 baada ya raudni 11. Okwi ana mabao nane na anatarajiwa kurejea dimbani baada ya mapumziko mafupi ya ligi kupisha michuano ya CECAFA Challenge.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba