Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi atangaza mabadiliko

Tuesday , 5th Dec , 2017

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba Emmanuel Okwi baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ndani ametangaza kubadili jina analotumia kwenye mitandao ya kijamii.

Okwi ambaye jumamosi iliyopita ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ndani ya Uganda wa msimu uliopita wa 2016/17, amebadili kwenye ukurasa wake wa Instagram kutoka lile la awali ambalo alikuwa anatumia (@emmosting) na sasa ametangaza kuanza kutumia jina lake la (@emmanuelokwi).

Jina hilo amelitangaza leo kupitia ukurasa wake huo wa Instagram akiwajulisha mashabiki wake ambapo ameendika, “Tafadhali pokeeni hii taarifa ya jina langu jipya nitakalokuwa natumia”.

Nyota huyo amekuwa kwenye kiwango kizuri tangu msimu uliopita aliporejea kwenye klabu yake iliyomlea na kukuza kipaji chake ya Sports Club Villa ya Uganda kabla ya kutua kwenye klabu ya Simba msimu huu.

Mganda huyo ndiye kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2017/18 baada ya raudni 11. Okwi ana mabao nane na anatarajiwa kurejea dimbani baada ya mapumziko mafupi ya ligi kupisha michuano ya CECAFA Challenge.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu