Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga watinga fainali kusaka taji la pili

Wednesday , 8th Aug , 2018

Mabingwa watetezi wa michuano ya Sprite Bball Kings Mchenga Bball Stars wamefanikiwa kutinga fainali ya pili mfululizo baada ya kuwafunga Portland kwenye game 3 ya nusu fainali iliyopigwa kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es salaam.

Mchenga Bball Stars (kijani) kweye mchezo wao dhidi ya Portland (nyeupe).

Mchenga Bball Stars wameibuka na ushindi wa pointi 81 dhidi ya 63 za Portland hivyo kuungana na Flying Dribblers katika fainali itakayokuwa na mechi 5. Mchenga na Portland zililazimika kufika game 3 baada ya game 1 na 2 kumalizika kwa kila timu kushinda game 1.

Katika mchezo wa leo mchezaji wa Mchenga Bball Stars Baraka Sadick amekuwa shujaa kwa timu yake baada ya kufunga pointi 36 kati ya 81 ilizopata leo. Pia amechukua rebound 1 na Assist 1. Kwa upande wa Portland Andrew Elias ndio amekuwa kinara kwa kufunga pointi 22, rebound 1 na Assist 1.

Baraka Sadick sasa amefikisha pointi 100 katika mechi 5 alizocheza kuanzia hatua ya 16 bora, robo fainali na mechi 3 za nusu fainali. Mechi za fainali ya michuano hiyo inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji cha Sprite zitaanza Jumamosi ya Agosti 18 kwenye uwanja wa taifa wa ndani.

Kwa upande wa Flying Dribblers wao walishinda mechi zao mbili kati ya tatu za nusu fainali dhidi ya Team Kiza hivyo kujikatia tiketi ya kucheza fainali baada ya msimu uliopita kuishia nusu fainali wakiwa na kumbukumbu ya kutolewa na Mchenga Bball Stars ambao wanakwenda kucheza nao fainali.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi