Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Inspector Haroun afunguka bifu yake na Nature

Friday , 15th Dec , 2017

Mkali wa 'hit' za zamani kama asali wa moyo Inspector Haroun maarufu ‘Babu'  amesema hakuwa na bifu na mkali mwenzake kutoka Temeke Juma Nature bali bifu hiyo ilikuwa inatengenezwa na mashabiki.

Inspector amefunguka hayo kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio ambapo amejinasibu kuwa wakati yeye anaoa mwanamke na kuhamia Kijitonyama kutoka Temeke ndio  kipindi ambacho Juma Nature na kundi lake la TMK walitoa ngoma ya 'Shibe shibe'

''Katika mistari ya nyimbo hiyo wamesema 'nyumbani ni nyumbani' watu wakawa wanajua kuwa kuhama kwangu Temeke  ndio akanitungia nyimbo hiyo, baada ya muda kidogo mimi nimetoa 'Mishe mishe' basi ndio tukawachanganya sana kumbe  wala haikuwa hivyo mimi na Nature hatuna tatizo tuko pamoja sana'', amesema.

Msanii huyo amesema kufanikiwa kwake kulitokana na kushiriki katika  shindano la kusaka vipaji lililofanyika Don Bosco, ambapo DJ Bony Love alikuwa Jaji wa shindano hilo, yeye na Luteni Kalama  wakaibuka washindi.

Alipoulizwa  kuhusu wasanii kutoa nyimbo ambayo haidumu kwa muda mrefu, amesema inatokana na kukosa ubunifu ambapo wakati wao  wanang’aa walikuwa wanatumia muda mwingi kuandaa  ngoma zao.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala