Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bingwa mtetezi hoi kwa Zanzibar

Friday , 15th Dec , 2017

Timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) imetinga fainali ya kombe la CECAFA Senior Challenge baada ya kuwaondoa mabingwa watetezi Uganda kwenye mchzo wa nusu fainali uliomalizika jioni hii.

Mchezo huo umepigwa kwenye uwanja wa Moi mjini Kisumu, Zanzibar walifanikiwa kupata bao la kuongoza dakika ya 22 kupitia kwa Abdulaziz Makame Hassan KABLA YA Uganda kusawazisha dakika ya 28 kupitia kwa Nsibambi Derrick.

Kipindi cha pili Zanzibar walianza kwa kasi wakitumia mbinu za kushambulia kwa kushitukiza ambapo katika dakika ya 58 walifanikiwa kupata Penalti ambayo ilifungwa na mchezaji Mohamed Issa Juma. Bao hilo limeipeleka Zanzibar fainali.

Vijana hao wa kocha Hemed Morocco watakutana na timu wenyeji ambayo ni Harambee Stars. Wenyeji hao walifuzu hatua ya fainali siku ya jana baada ya kuwafunga Burundi kwa bao 1-0 na leo wamemjua mpinzani wao wa fainali.

Kenya na Zanzibar zote zimetoka kundi A ambapo Kenya iliongoza kundi hilo ikifuatiwa na Zanzibara ambayo ilishika nafasi ya pili wakiziacha timu za taifa kadhaa ikiwemo ile ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) ambayo iliondoka na alama moja.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala