Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sipangiwi kuzungumza Kiingereza - Shilole:

Wednesday , 22nd Mar , 2017

Msanii wa kizazi kipya Zuwena Mohamed 'Shilole' anayetamba na wimbo wa 'Hatutoi kiki' amefunguka kuwa hapendi kuzungumza lugha ya Kiingereza pasipo sababu kwakuwa ametumia gharama kuilipia lugha hiyo, na hivyo hakuna wa kumpangia kuizungumza.

Shilole ndani ya Planet Bongo

Akiwa East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo Shilole amesema kwamba watu wanaomtaka yeye kuzungumza Kingereza wanapoteza muda wao kwa kuwa yeye alijifunza lugha hiyo kwa ajili ya maslahi yake binafsi hasa katika biashara zake.

"Dullah mimi lugha naijua sana, nimesoma kozi ya miezi mitatu, mwalimu alikuwa anakuja nyumbani kwangu kunifundisha, ukitaka kujua mimi najua kuzungumza lugha hiyo unikute kiwanja cha ndege nimechelwa ndege halafu nina show au ninapokuwa mezani nataka kuzungumza na wazungu kwa ajili ya kusaini mikataba lakini siwezi kuongea kwa kila mtu ili kudhihirisha kama naweza kwakuwa hakuna aliyenisaidia kulipa ada". Alisema Shilole.

Katika hatua nyingine Shilole amesema amechoka kutumiwa kama daraja la kuwanufaisha watu ambao wanaenda kwake kujipatia umaarufu ili wafanye mambo yao mengine ndiyo sababu ya kuachia wimbo wake mpya ambao ni salamu kwa wale wote wenye mawazo ya kutoka kupitia jina lake.

"Huu wimbo wa 'Hatutoi kiki' sijamuimba mtu mmoja ila ni salamu za watu wote ambao walikuwa wananichukulia kama daraja, kuna mtu mwingine anahangaika mwezi mmoja anataka nimfanye awe maarufu, mimi nimehangaika kulikuza jina kwa takribani miaka sita ndio maana nasema hatutoi kiki".  Alimaliza Shilole.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala