Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi wakomaa na dereva wa Lissu

Monday , 11th Sep , 2017

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Robert Boaz amemtaka dereva wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kufika polisi kwa ajili ya mahojiano juu ya tukio la kupigwa risasi kwa kiongozi huyo ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA.

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini DCI Robert Boaz

Mkurugenzi huyo amesema hayo leo wakati akifanya mahojiano na kipindi cha HOTMIX  ambapo amesema "Polisi inaendelea kumtaka dereva huyo kufika kwa ajili ya kuisaidia Polisi katika uchunguzi wa tukio hilo".

Hata hivyo kuhusiana na dereva huyo (Simon Bakari), Mwenyekiti wa (CHADEMA) Freeman Mbowe jana katika taarifa yake alisema kutokana na dereva huyo kushuhudia tukio la kutisha wameamua kumpeleka Nairobi ili kupatiwa huduma za kisaikolojia 

Akizungumzia muitikio wa viongozi na watendaji mbalimbali wanaoendelea kufika katika Jeshi hilo kwa ajili ya mahojiano baada ya kutajwa katika taarifa mbili za Kamati za Bunge zilizochunguza Sekta ya Madini ya Almasi na Tanzanite, DCI amekiri kuridhishwa.

DCI Boaz amesema viongozi hao wamekuwa wakifika kwenye  kikosi maalum cha upelelezi ambacho kimeundwa na vikosi vyote vya Upelelezi, na kuongeza kuwa wanaendelea kuhojiwa na kwa wale watakaobainika kuhusika watapelekwa Mahakamani.

Amesema viongozi hao pamoja na wengine watakaofika wataendelea kuhojiwa kufuatia amri ya Amiri Jeshi Mkuu na kufuatiwa na wito wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro aliyetaka viongozi hao kufika kwa ajili ya mahojiano baada ya kutajwa kwenye taarifa za kamati hizo mbili.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala