Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu Fainali Dance 100 yatikisa, 5 watimba fainali

Saturday , 13th Sep , 2014

Baada ya mchuano Mkali, Makundi 5 ya kudance, Wakali Sisi, Wazawa Crew, Best Boyz, The WT, na The Winners yamefanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya mashindano makubwa kabisa ya kudansi Afrika Mashariki, Dance 100% 2014.

Washindi wa leo wakiwa pamoja baada ya kutangazwa kushinda kuingia hatua ya fainali.

Tukio la kipekee pia kutoka katima mashindano haya ni rekodi iliyowekwa na kundi la Wazawa kwa kupata maksi 100 kutoka kwa jaji Super Nyamwela baada ya ubunifu wao kufurahisha wengi na kumgusa jaji huyu kipekee.

Makundi yaliyoshiriki hatua hii ni Quality Boys, Wakali Sisi, The Winners, Tatanisha Dancers, Mazabe Powder, The WT, Best Boys, Wazawa Crew, Dar Crew na G.O.P ambao waliingia uwanjani kwa mizunguko miwili, moja wakiwa wanacheza Megamix zao nay a pili wakiwa wanacheza nyimbo walizoandaliwa na kuzichagua wenyewe.

Mashindano haya yamefanyika leo na kuleta burudani ya aina yake kwa umati mkubwa wa mashabiki waliohudhuria katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Kwa kufuatilia kilichotokea leo usikose kutazama show kali ya Dance 100% kupitia EATV siku ya Jumatano saa 1 kamili jioni.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini