Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Niliachana na Uwoya kwa ajili ya Ndikumana

Thursday , 16th Nov , 2017

Mwanamuziki wa bongo fleva nchini Msami Baby amefunguka na kusema wazi kwamba aliwahi kujuta kuwa na mahusiano na Irene Uwoya baada ya kujua kwamba anamuumiza aliyekuwa Mume wa muigizaji huyo, Marehemu Hamadi Ndikumana aliyefariki

usiku wa kuaMkia jana huko Rwanda.

Msami amefunguka na kusema kwamba hakuwahi kumchukia Mwanaume huyo (Ndikumana)  na kwamba kutokana na heshima aliyokuwa anampatia ndikumana ilimfanya aamua kuvunja mahusiano  hayo.

Msami amesema kwamba baada ya kugundua kwamba Ndikumana anapambania Ndoa yake na Irene Uwoya alijihisi mkosaji kitendo kilichomfanya ajisikie vibaya na hata lugundua kwamba nikitendo kisichopendeza mbele za Mungu.

"Kuna kitu kiliniambia nachokifanya siyo sahihi, nilimwambia Irene wewe umefunga ndoa ya kikristo na mimi nimetumikia kanisani kwa muda wa miaka saba hivyo naijua vizuri dini,  kuendelea kumuumiza mwanaume mwenzangu sikuona kama kuna maana ndiyo maana nilirudi kwa Mungu wangu na kujutia makosa niliyoyafanya" Msami.

Ameongeza "Sikuwahi kumfuata Ndikumana kumuomba msamaha kwa sababu nilikuwa na mahusiano na mwanamke wake, lakini nilienda luongea na Mungu wangu kisha nikaungama dhambi zangu ndiyo maana mimi na Irene tukaendelea kuwa Marafiki lakini kusikia tena jamaa amefariki imeniumiza sana.

Msami ni mwanaume ambaye alitajwa kuwa na mahusiano na Irene Uwoya kwa muda mrefu ingawa wao walikuwa wakikanusha na baada ya kuachana Msami alikiri kwenye FNL ya EATV kwamba aliwahi kuwa kwenye  mahusiano na muigizaji huyo

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala