Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki wa Pili awakingia kifua wafugaji

Wednesday , 11th Jan , 2017

Ikiwa bado migogoro kati ya wakulima na wafugaji inaendelea kushamili nchini msanii wa muziki wa hip hop Nikki wa Pili kutoka Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu za migogoro hiyo kushamiri pamoja na kushauri jambo la kufanyika.

Nikki wa Pili

Amesema kuwa mara nyingi wafugaji jamii ya wamasai ambao wanapigana na wakulima katika maeneo mbalimbali nchini ni kutokana na athari za wafugaji hao kuporwa ardhi katika maeneo ya Longido, Serengeti na maeneo mengine.

Nikki wa Pili anadai kutokana na kitendo cha majaji na viongozi mbalimbali kuhodhi maeneo makubwa ya ardhi Morogoro ndiyo kunapelekea vita kubwa kati ya wakulima na wafugaji mkoani humo.

"Wafugaji (wamasai) wanaopigana na wakulima ni waathirika wa kuporwa ardhi, Longido, Serengeti na maeneo mengine, majaji, wanasiasa, wawekezaji wamehodhi ma hekari ya ardhi Morogoro na kuacha vita baina ya wakulima na wafugaji. Wakulima wadogo ni wahanga wa uhodhi wa ardhi wa makampuni ya nje, na wazawa matajiri, majaji, viongozi...ambao wana miliki ma elfu ya hekta za ardhi Morogoro ingawa wengi wanaishi Dar es Salaam" aliandika Nikki wa Pili 

Kutokana na kitendo cha viongozi na watu wenye pesa kuchukua maeneo makubwa makubwa na kuwaacha wanyonge wakiwa na vieneo vidogo ndiyo chanzo cha migogoro hiyo kwa mujibu wa Nikki wa Pili 

"Ardhi imebaki finyu kwa wakulima wadogo na wafugaji, kibaya wanapigana wao na kumuacha adui yao ambao ni waporaji ardhi wa nje na wazawa...chini ya sera za kisasa za kufanya ardhi kuwa bidhaa, haya ni mawazo tu" alisisitiza Nikki wa Pili 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi