Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ngoma ya Darassa haina ujumbe"

Friday , 13th Jan , 2017

Msanii mkongwe wa bongo fleva, Prince Dully Sykes amesema wabongo wengi hawapendi nyimbo zenye ujumbe wa kuhamasisha maendeleo, na ndiyo maana ngoma nyingi zisizokuwa na ujumbe wa aina hiyo ikiwemo ya 'Muziki' ya Darassa, huwa zina hit zaidi.

Darassa

Dully alizungumza hayo hivi karibuni akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, alipokuwa akizungumzia mikakati yake kwa mwaka 2017 na kutakiwa kuelezea maana ya ngoma yake ya 'Inde' ambayo ilikuwa 'hit' mwaka 2016.

Alisema wimbo wa Darassa hauna ujumbe wowote wa kuhamasisha maendeleo isipokuwa umejaa majigambo na kujisifia, na kwamba nyimbo za aina hiyo ndizo hupendwa na watanzania huku akisema kuwa endapo Darassa angeimba maendeleo, wimbo wake usingependwa.

"Kwani wimbo wa darassa una ujumbe gani? siyo simba, siyo chui, hiyo si ni kujisifia tu, wabongo ukiwaimbia eti sijui twende tukalime, tufanye kazi maendeleo na vitu kama hivyo hawavipendi" Alisema Dully.

Alisema kwa kutambua hivyo, ndiyo maana na yeye hawezi kutunga nyimbo zenye ujumbe wa maendeleo na ataendelea na ngoma kama ilivyo 'inde' na nyingine ambazo zimetikisa anga la bongo fleva

Dully

Hata hivyo, Dully alimpongeza Darassa kwa kazi nzuri na kwa kulishika game la bongo kwa kipindi hiki, na kukiri kuwa kazi yake ni nzuri huku akikataa kuwa ngoma ya Darassa haijamfunika kwa kuwa ngoma yake ya 'inde' ilikuwa hit kabla ya 'Muziki' ya Darassa.

Kuhusu ujumbe uliomo kwenye ngoma ya 'inde' Dully alisema ngoma hiyo aliitengeneza kwa ajili ya kucheza kuburudisha zaidi maana hicho ndicho watanzania wanachokipenda, huku akikanusha kuimba matusi na kusema "Sijaimba matusi, ni jinsi wewe utakavyoutafsiri na kuuelewa, tuliza akili yako utajua nimeimba nini, vitu vingine havisemwi hadharani"

Kuhusu mikakati yake ya mwaka 2017, Dully amesema muda si mrefu atatoa ngoma nyingine ambayo anaamini itakuwa ni kali zaidi ya 'inde' na kuwataka mashabiki wake wakae mkao wa kula.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini