Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezeeni Alikiba sio mimi-AT

Saturday , 22nd Apr , 2017

Msanii wa muziki miondoko ya mduara nchini, AT amchana vikali 'dancer' na msanii Msami kwa kumwambia kwake siyo mahali pakuchezea kama anavyodhania huku akimtaka aende kwa Alikiba kwakuwa ni mnyonge hata akitukanwa hukaa kimya.

Hayo yameibuka baada ya Msami kumtaka AT aboreshe kazi zake badala ya kulalamika kuwa kuna watu wanaobebwa huku akijitapa kuwa dancers wana maisha mazuri na mafanikio makubwa kumzidi yeye.

“Hawa watoto huku kwangu siyo pakuchezea, mchezeeni Alikiba mnyonge anakaa kimya hata mkimtukana hajibu kitu ila huku kwangu waachane napo siyo kwa kawaida na kama hawataki basi wajaribu zali kama wenzao halafu watapata majibu yao”. Alisema AT

Aidha AT alifika mbali zaidi kwa kusema yeye ni msanii bora kuliko anavyomchukulia kwa kuwa anaweza kucheza na ‘vocal sound’ kwa kuiga sauti  wasanii wakubwa huku akitolea mfano kwa Bi. Kidude, Oliver Mtukuzi pamoja na Chriss Brown

 “Wewe hunijui,  umeenda tu kuruka ruka sehemu umechukuliwa baadae umejiona umeimba chooni ukadhani unajua kuimba. Mimi mwenzio nimeenda chuoni”. Alisisitiza AT

Mbali na hilo AT aliwataka watu ambao wanatafuta majina kupitia yeye wakome kabisa tabia hiyo kwani yeye ni mtu mbaya akisema siku aachie mabomu yake hawataweza kuvumilia kwani watatafutana, hivyo kama wanataka kiki waende kwa Harmorapa lakini si kwake. 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala