Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance 100% inarudisha hadhi ya wachezaji - Shetta

Monday , 12th Oct , 2015

Msanii Shetta ambaye pia ni mmoja wa majaji wa mashindano ya Dance100% yaliyofikia finali zake siku ya jumamosi Tarehe 10 oktoba, amesema mashindano hayo yanarudisha hadhi ya wachezaji ambayo walikuwa nayo.

sheta ameyasema hayo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kueleza kwamba siku za nyuma wasanii wa kucheza walikuwa hawathaminiwi, lakini kutokana na mashindano hayo kuteka hisia za watu wengi, imesaidia kuwarudishia heshima na kubadilisha maisha yao.

"East Africa TV wanavyorusha shindano kama hili, uthamani unaongezeka kwa sababu mwanzo kabisa tulikuwa si tuna dance heshima ilikuwepo, lakini hapa kati ikaja ikavurugika dancer hana thamani na vitu kama hivyo, lakini hata sisi wasanii wakubwa tunavyo waalika Dancers tunafanya nao show, tunawapa ajira maisha yanabadilika", alisema Sheta.

Nao washindi wa mashindano hayo ambao ni kundi la WD, wamewataka vijana kuwa na uthubutu wa kufanya vitu na kutokata tamaa wakihofia kushindwa.

"Namshukuru Mungu baada ya kutajwa washindi wa Dance 100% 2015, kwa sababu tumeshiriki ndani ya miaka mitatu bila mafanikio, lakini mwaka huu tumechukua washindi wa kwanza, kitu tulichoangalia ni ubunifu, usikubali kufanya kitu ambacho mwenzako amefanya au mtu mwengine amefanya, kupigana kwamba usikubali kusema hiki kitu mi sikiwezi", alisema Omary ambae ni mmoja kati ya washiriki wa kundi la WD.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala