Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Akigombea Lowassa nitajitoa - Wolper

Wednesday , 24th May , 2017

Msanii wa filamu nchini, Jacqueline Wolper amefunguka na kusema endapo mwaka (2020) Mh. Edward Lowassa atagombea Urais basi yeye atajitoa moja kwa moja kumsapoti katika kampeni zake kwani yeye ni shabiki mkubwa sana wa Waziri huyo Mstaafu.

Wolper amesema hayo kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachofanyika kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV na kudai kuwa yeye anampenda sana Lowassa pamoja na mkewe na kusema hata kampeni za mwaka 2015 alijitoa kumsapoti Lowassa kutokana na mapenzi yake kwani hakuwahi kulipwa hata elfu kumi.

"Kama Edward Lowassa atagombea urais mwaka 2020 Mungu wangu nitampa sapoti yangu moja kwa moja, mimi nampenda sana Lowassa na mkewe na nilianza kumpenda Lowassa toka kanisani maana kila harambee alikuwa anakuja, kwa hiyo mimi ni shabiki wa Lowassa na mkewe nilifanya kampeni kwa ajili ya kumsapoti Mh. Lowassa na sijawahi kuchukua pesa yoyote lakini watu wake walinitelekeza ndiyo maana nilikwenda CCM" -alisema Wolper.

Hata hivyo Wolper ambaye alionekana kuwa na ushawoshi mkubwa kwenye kampeni za 2015 anadai baadaye aliamua kwenda CCM sababu huko kulikuwa na rafiki zake wengi na watu wa huko walikuwa wakimjali tofauti na CHADEMA. 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi