Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Mwanafunzi ajirusha ghorofani

Wednesday , 28th Jun , 2017

Mtoto anayedhaniwa kuwa ni mwanafunzi wa  shule ya DYCCC iliyopo Chang'ombe jijini Dar es Salaam amejirusha kutoka ghorofa ya nne mpaka chini huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika haraka.

Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi Temeke,  Andrew Satta amekiri kutokea kwa tukio hilo ingawa taarifa hizo zipo kwenye mitandao na hazijafikishwa kituoni hapo, lakini tayari wameanza kufuatilia ili kubaini nini chanzo cha cha tukio hilo.

"Ni kweli tumeona hilo tukio hata sisi kwenye mitandao ya kijamii lakini bado hatujapata taarifa za awali na tukio bado halijaripotiwa polisi. Sisi tumechukua hatua za kuanza kufuatilia na tukishafahamu tutaweka wazi" alisema Kamanda Satta.

MUENDELEZO

Meneja wa shule ya DYCCC (jina halijafahamika) amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kukanusha kwamba mtoto huyo siyo mwanafunzi wa shule hiyo na kwamba alikwenda kusherehekea sikukuu ya Idd kwani ni utaratibu wa wa shule hiyo kuombwa uwanja kwa ajili ya sherehe kila mwaka.

"Nipo nje ya Dar es salaam, lakini anayeonekana kwenye hizo video si mwanafunzi wa shuleni kwetu. Ni mtoto ambaye ametoka Morogoro na kuja Dar es salaam kwa ndugu zake. Alipofika alijumuika na wenzake kusherehekea sikukuu. Sasa kwa tukio hili waandaji watakuwa na majibu mazuri kuliko sisi, kwa sababu wao huwa wanatuomba uwanja na sisi tunawapatia. Lakini mtoto aliokolewa yupo salama na wazazi wake" alisema Meneja wa shule ya DYCCC.

Hata hivyo jina na umri wa mtoto huyo bado havijafahamika. 

Tazama video zaidi ya tukio hilo.

 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala