Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania wapewa somo kuanzisha viwanda vidogo

Thursday , 25th Aug , 2016

Watanzania nchini Wametakiwa kuwekeza na kujikwamua kiuchumi kwa kuanzisha viwanda vidogovidogo vitakavyozalisha ajira na kukuza pato la nchi hivyo kusaidia kuondokana na tatizo la umasikini uliokithiri kwenye kaya nyingi nchini.

Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha, Felician Mtahengerwa.

Hayo yamebainika kutoka kwa Washiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali juu ya namna ya kumiliki viwanda vidogo vya uzalishaji, yalioandaliwa na Kampuni ya Zebra iliyoko jijini Arusha kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali hao kukuza mitaji yao.

Suzan Nyari na Glory Antony wamesema kuwa Mafunzo waliyoyapata juu ya jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani kama Sabuni, Ufugaji wa kuku pamoja na usindikaji vyakula yatawasaidia katika kuanzisha viwanda vidogovidogo hivyo wameiomba serikali iwapatie mikopo ya riba nafuu ili kutekeleza adhma ya Rais Magufuli ya kuwa na uchumi wa viwanda.

Naye Mkurugenzi wa kampuni iliyotoa mafunzo hayo, Zuberi Mwinyi amesema kuwa Mafunzo wanayoyatoa yatawasaidia wananchi wa jiji la Arusha kuweza kutumia vizuri fursa zilizopo katika maeneo yao kujikomboa kiuchumi.

Kwa upande wa Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha Felician Mtahengerwa amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia Wananchi wa Arusha kufanya biashara kitaalam na kwa kuzingatia sheria na maadili ili waweze kuepuka hasara.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala