Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yaahidi kutoa milioni 10

Tuesday , 14th Nov , 2017

Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa nchini (TAKUKURU) yaahidi kutoa donge nono la milioni 10 kwa mtu yeyeote atakayetoa taarifa mahali alipo aliyekuwa mtumishi wa taasisi hiyio Bwana Godfrey John Gugai ambaye wanamtafuta kwa kuwa na mali nyingi.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari leo Naibu Mkurugenzi wa TAKUKURU  Brigadier General John Mbungo amesema mtu huyo awali alianza kuonyesha ushirikiano walipoanza kumuhoji, lakini baada ya muda akaanza kuwakwepa na hatimaye kutokomea kusikojulikana.

"Tumeendelea kumtafuta na taarifa tulizozipata amekuwa anakimbia nchi kupitia njia ambazo sio rasmi na hadi sasa tumeendelea kumtafuta lakini bado hajapatikana. Na sisi tumeona ni vema tuziweke hizi habari ziwe wazi kwenu waandishi wa habari na wananchi, popote watakapompata au kumuona huyu bwana watoe taarifa katika chombo hiki na taasisi hiii itamzawadia mtu yeyote ambaye atafanikisha kupatikana kwa huyu mtu, zawadi ya milioni 10 pesa taslim.", amesema Brigadia Mbungo.

Godfrey Gugai alikuwa mhasibu wa TAKUKURU anatuhumiwa kuwa na mali nyingi kinyume na sheria kwa mtumishi wa umma, ambapo ana nyumba ya ghorofa 4 iliyopo Ununio Knondoni, nyumba ya ghorofa 3 Bunju, ana nyumba za kupangishwa Mbweni, ana nyumba za kupangisha Kinondoni, ana jengo la kifahari Majita Musoma, ana nyumba Mwanza, ana nyumba ya kifahari Mwanza Nyegezi, ana viwanja lukuki sehemu mbali mbali na mali nyinginezo.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini