Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pangani nzima sasa yawaka umeme

Sunday , 15th Jan , 2017

Kata zote kumi na nne katika jimbo la Pangani mkoani Tanga zimefanikiwa kupata umeme kupitia juhudi zilizofanywa na mbunge wa jimbo hilo Mhe. Juma Aweso akishirikiana na wizara ya nishati na madini.

Aweso alikuwa akizungumza kupitia Kipindi cha Weekend Breakfast cha EA Radio, amesema baada ya suala hilo la umeme kufikia pazuri, hivi sasa kilio cha wana Pangani ni huduma ya uhakika ya usafiri wa majini utakaounganisha jimbo la Pangani na maeneo mengine ya ukanda wa mwambao nchini.

Amesema mkakati wake kama mbunge hivi sasa ni kuhakikisha panakuwa na boti ya haraka (Fast Boat) kwa ajili ya huduma za usafiri katika mto Pangani itakayorahisisha 

 

Jumaa Aweso - Mbunge wa Pangani

Mbali ya mafanikio katika suala la miundombinu ya umeme na barabara, jimbo hilo pia limefanikiwa kumaliza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa mujibu wa Katibu wa Wafugaji wilaya ya Pangani Bw. Christopher Benedict Molam aliyefanya mazungumzo na Kurasa ya EATV.

Molam ametaja mbinu waliyoitumia kumaliza migogoro hiyo kuwa ni kwa kuwaelimisha wafugaji kuwa huwezi kula nyama peke yake pasipo kuhitaji mahindi na aina nyingine za mazao huku wakulima nao wakielimishwa umuhimu wa mifugo kama kitoweo muhimu kwao kwani hakuna anayeweza kula mahindi pasipo kuhitaji nyama ambayo inatokana na mifugo.

 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini