Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikistaafu nitamuachia Mwanamke - Mbunge Mtolea

Saturday , 19th May , 2018

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abdallah Mtolea amesema kuwa pindi utakapofika wakati wake wa kuachia ngazi jimboni kwake atamuachia mwanamke kiti chake.

Mbunge wa Temeke Mh. Abdallah Mtolea katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Sekondari ya Buza wakifurahia kupokea msaada huo wa taulo za kike.

Mtolea ametoa kauli hiyo mapema leo shule ya Sekondari Buza wakati akipokea msaada ya taulo za kike kutoka EATV kupitia kampeni yake ya Namthamini ambapo amewapongeza kwa kuonesha namna ambavyo wanathamini watoto wa kike na kuahidi kuwa atakapomaliza muda wake atamuachia mwanamke.

“Kwa hiki mnachofanya EATV mnathibitisha kwa vitendo kauli mbiu yenu ya tinga nambari moja la vijana na hii iwe motisha kwenu wanafunzi msome kwa bidii kwani nitakapo staafu nafasi yangu natamani kumuachia mwanamke kiti hiki na nina tamani awe kati yenu nyie wanafunzi wangu”, amesema Mtolea.

Mapema leo timu ya EATV kupitia kampeni ya Namthamini iliwasilisha taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Buza Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala