Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maji bado ni tatizo sugu mkoani Ruvuma: RC Mahenge

Tuesday , 6th Sep , 2016

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge amesema upatikanaji wa maji kwa baadhi ya maeneo katika mkoa huo bado ni wa kusuasua kutokana na kutokuwepo kwa miundombinu rafiki ya ujenzi wa huduma hiyo,

kuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge.

Kufuatia hali hiyo amesema hadi sasa tayari ofisi yake imeanza kufanya uchunguzi wa maeneo ambayo hayafikiwi na huduma ya maji kabisa.

Dkt. Mahenge ameyasema hayo kwenye mahojiano maalum na East Africa, na kuongeza kuwa tayari ameagiza viongozi wa vijiji kuorodhesha maeneo ambayo hayafikiwi na huduma hiyo ili serikali itafute njia mbadala zakufanya kuwezesha maeneo hayo kupata maji safi na salama kwa ajili ya matumizi yao kila siku.

Amesema baadhi ya maeneo ambayo yatanufaika na mradi huo wa maji ambao unaotarajiwa kuwekwa ni pamoja na maeneo ya zahanati, mashuleni, ofisi mbalimbali za serikali na sehemu ambazo zinatoa huduma kwa jamii bila ubaguzi wa itikadi zao, kwakuwa serikali ya awamu ya tano ina lengo la kuwahudumia watanzania wote.

Kwa upande wa afya Dkt. Mahenge amesema katika awamu hii ameagiza viongozi wa mkoa huo kujenga zahanati moja kila mwaka kwenye kata zote zilizopo katika mkoa wa Ruvuma na kuziagiza halmashauri kupeleka fedha kwenye vijiji ambavyo vimepangiwa kujenga Zahanati hizo kwa wakati uliowekwa na serikali.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu