Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakamani kwa kubaka watoto 14

Sunday , 22nd Oct , 2017

Jeshi la Polisi mkoani Singida linatarajia kumfikisha Mahakamani Minga Daud Idd ambaye ni mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14.

Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Singida Isaya Mbughi amethibitisha hilo ambapo amesema upelelezi unaendelea na muda wowote kuanzia kesho mtuhumiwa huyo Daud Idd mwenye miaka 74 atafikishwa mahakamani.

“Ni kweli tunamshikilia Daudi Idd kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14 wenye umri kati ya miaka saba na 12 na kuwasababishia maumivu makali katika sehemu zao za siri, na upelelezi unaendelea ambapo muda wowote kuanzia kesho atafikishwa mahakamani”, amesema Kamanda Mbughi.

Kamanda amesema walibaini vitendo hivyo Oktoba 16 baada ya mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba kulalamika kuwa anasikia maumivu sehemu za siri akiwa anaogeshwa na Mama yake, ndipo Mama yake akafuatilia na mtoto kueleza kuwa vitendo hivyo hufanyiwa yeye na wenzake.

Baada ya Mama huyo kuambiwa na mwanae kuwa Mzee Daud maarufu Babu Karatu ndio anawafanyia vitendo hivyo Mama aliripoti kwa mwenyekiti wa mtaa wa Minga kisha wakaripoti Polisi ndio hatua za kumkamata mganga huyo wa kienyeji zikafuata.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini