Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubeza viwanda ni mtazamo finyu - Mhagama

Friday , 17th Nov , 2017

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Joakim Mhagama amesema kuwa mapinduzi yoyote ya viwanda huanza na viwanda vidogo hivyo watu wasibeze dhana ya viwanda nchini.

Mh. Mhagama ameyasema hayo mjini Dodoma wakati akichangia mada kwenye kongamano la pili la kitaaluma la kuwasilisha matokeo ya tafiti juu ya mchango wa viwanda katika ukuaji wa uchumi endelevu.

“Maendeleo ya viwanda Tanzania kama ilivyo nchi nyingine yanatokana na kuwekeza nguvu katika viwanda vidogo, vya kati na hatimaye viwanda vikubwa na hakuna mapinduzi yoyote katika nchi kubwa yaliyoanza na viwanda vikubwa”.

Aidha waziri Mhagama ameongeza kuwa wapo watu wanaobeza viwanda vidogo na dhana nzima ya viwanda nchini ambapo amesema huo ni mtazamo finyu na umepitwa na wakati.

Waziri amewaomba wananchi kuunga mkono sera ya viwanda kwa kuanza na viwanda vidogo kisha viwanda vya kati na hatimaye lengo la kuwa na viwanda vikubwa litatimia kupitia kuanza na viwanda vidogo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala