Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aombwa kunusuru mamilioni ya CUF

Tuesday , 10th Jan , 2017

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha wananchi CUF Julius Mtatiiro amemuomba  Rais Jonh Magufuli kuingilia kati utakatishaji na uhamishaji wa fedha kiasi cha sh. milioni 369 za chama hicho, kutoka hazina na kuhamishiwa kwenye akauti binafsi.

Julius Mtatiro - Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF

 

Akizungmza leo na wanahabari  jijini Dar es salaam  Mtatiro amesema kuwa fedha hizo ni za Ruzuku ya chama,  hivyo zimehamishwa Januari 5 mwaka huu,bila ya kuwepo kwa taarifa kwenye bodi ya udhamini wa chama hicho,nakuziomba  mamlaka husika ikiwemo taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) kufanya uchunguzi dhidi ya uhamishaji huo.

Kufuatia hatua hiyo CUF imeanza kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na viongozi wa juu wa chama hicho,kuanza kukutana ili  kujadili kile alichokiita kuwa ni shambulio ili  kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu waliyohusika na  utakatishaji na uhamishaji wa fedha hizo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala