Moja ya behewa lililoanguka

29 Jul . 2024

Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Abdulrahman Kinana

29 Jul . 2024

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Frederick Sumaye (wa pili kushoto) akizungumza na washiriki wakiwemo Mabalozi wa mataifa mbalimbali nchini Tanzania, pamoja na wakurugenzi wa mashirika katika maadhimisho ya Kimataifa ya Nelson Mandela yaliyoratibiwa na Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Ubalozi wa Afrika Kusini hapa nchini na kituo cha Victorious Centre of Excellency. Kupitia maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wadau hao walifanya shughuli mbalimbali za kijamii katika kituo hicho ikiwemo upandaji miti, utoaji wa misaada ya kijamii, kupaka rangi kuta na kusaidia kazi za jikoni, ikiashiria juhudi zao za pamoja katika kuimarisha maisha ya watoto wenye mahitaji maalumu nchini. Wanaomsikiliza ni Waanzilishi na Wakurugenzi wa kituo hicho akiwemo Bw Filbert Sumaye (Kushoto) na Bi Sarah Laiser-Sumaye (wa pili kulia) pamoja na Mchungaji Dk. Eliona Kimaro (kulia)

29 Jul . 2024