Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Audio: Bomoa Bomoa Kimara, u-CHADEMA wahusishwa

Monday , 21st Aug , 2017

Meya wa Manispaa ya Ubungo Mh. Boniface Jacob, amelezea tukio la bomoa bomoa linaloendelea katika maeneo ya Kimara na kuathiri wakazi wake kuwa ni la uonevu na lenye kubebwa kisiasa.

Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob

Akizungumza na East Africa Radio, Boniface Jacob amesema kitendo hicho kimekuwa cha uonevu kwa sababu kesi bado iko mahamani, lakini serikali imetoa amri nyumba hizo zibomolewe, bila kusubiria hatma ya kesi.

Boniface Jacob pia ameelezea tukio hilo limebebwa na sura ya kisiasa na kusema kuwa kitendo cha wakazi wa maeneo hayo kuwa upande wa vyama vya upinzani ndiyo umewagharimu, na kufanyiwa vitendo vya uonevu wa hali ya juu.

Eneo la Kimara kumefanyika zoezi la kubomoa nyumba na ambalo limeonekana kuathiri kiasi kikubwa cha wakazi wa maeneo hayo, na kuibua malalamiko mengi kwa watanzania ambao hata siyo wakazi wa maeneo haya.

East Africa Radio ilifanya jitihada za kumtafuta Afisa Mtendaji Mkuu TANROADS, Mhandisi Patrick Mfugale ili iweze kuweka bayana suala hilo, na kusema kuwa kitu ambacho yeye anafahamu kesi ya mahakamani iliisha tangu mwaka 1993 na serikali ilishinda, hivyo walikuwa na amri napo, lakini kabla ya kuanza zoezi la ubomoaji walishatoa 'notice' kwa wakazi hao ili waweze kutoka maeneo hayo.

Sikiliza maongezi ya watu wote wawili wakelezea suala hilo

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi