Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wa migodini walia na bei

Tuesday , 21st Aug , 2018

Wanawake wanaofanya kazi ya kuponda kokoto na madini ya Chokaa, katika eneo la Amboni jijini Tanga wameiomba serikali kusimamia bei elekezi ambapo lori moja la kokoto linatakiwa kuuzwa kwa sh. laki moja na ishirini tofauti na sasa wao wanauza kwa sh. elfu themanini mpaka sabini.

Wakizungumza na East Africa Radio, kwa nyakati tofauti wanawake hao wamesema kuwa kutokuwepo kwa usimamizi wa bei kunasababisha wao kufanya kazi isiokuwa na maslahi.

Kina mama wanaofanya kazi katika eneo hilo wamesema wamejikuta wakilizamika kuuza kokoto hizo kwa bei ya hasara kutokana na kurudishwa nyuma na madalali hivyo kuwaweka katika wakati mgumu wa kupiga hatua kimaendeleo kupitia shughuli hiyo.

Akizungumzia Suala hilo Mkuu wa Wilaya Tanga, Thobias Mwilapwa, amesema kuwa bei elekezi ya serikali ipo tatizo kina mama hao wanakosa umoja kwa kukubaliana kwa pamoja kufuata bei elekezi na watambue atakenunua chini ya hapo ni kwamba amekiuka sheria.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala