Wanahabari wametakiwa kujali usalama wao kazini
Wahariri na waandishi wa habari wametakiwa kuchukua tahadhari ya kiusalama wakati wanapotekeleza majukumu yao, hasa kipindi hiki nchi inapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na ule wa rais na wabunge mwakani.

