Wanaharakati waiponda bajeti kuu ya serikali Waziri wa fedha na uchumi Bi. Saada Mkuya Salum. Mtandao wa jinsia nchini Tanzania TGNP umetoa tamko kuelezea kusikitishwa kwake na jinsi bajeti kuu ya serikali ilivyotenga pesa kidogo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi. Read more about Wanaharakati waiponda bajeti kuu ya serikali