Wanaharakati waiponda bajeti kuu ya serikali

Waziri wa fedha na uchumi Bi. Saada Mkuya Salum.

Mtandao wa jinsia nchini Tanzania TGNP umetoa tamko kuelezea kusikitishwa kwake na jinsi bajeti kuu ya serikali ilivyotenga pesa kidogo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS