Snura Mushi hata haribu kwenye 'Ushaharibu'
Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania, Snura Mushi amesema kuwa, kutokana na majanga ya kimaadili yaliyomkuta, kwa sasa yupo katika utayarishaji wa video yake mpya ya Ushaharibu, akiwa makini kabisa kuzingatia vigezo vya maadili.

