Serikali yalemewa na wanaotumia dawa za kulevya
Serikali ya Tanzania imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana wanaotumia dawa za kulevya nchini hali inayohitaji nguvu za pamoja katika kukabiliana na hali hiyo ili kuwaepusha vijana na matumizi hayo kwa ustawi wa Taifa.

