Jiji la Tanga kuwaondoa wafugaji eneo la Pongwe

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu Chiku Galawa

Zaidi ya wafugaji 300 waliopo eneo la Pingoni nje kidogo mwa jiji la Tanga nchini Tanzania wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha maeneo hayo kupimwa kisha kuwamegea wananchi viwanja ili ujenzi wa jiji la Pongwe uweze kuanza mara moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS