Serikali kujenga vyuo vya VETA katika wilaya zote
Serikali ya Tanzania inaendelea kutekeleza mpango wake wa ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi katika kila wilaya nchini hasa wilaya ambazo hazina kabisa chuo cha aina hiyo na maeneo yenye miradi mikubwa ya kitaifa kwa manufaa ya watanzania.

