Hali ya majeruhi wa bomu Arusha inaimarika

Picha ya moja ya mabomu ya mkono ambayo mara nyingi hutumika kwa kurushwa kwa lengo la kudhuru au kujeruhi watu

Watu 17 waliojeruhiwa kwenye mapaja na miguuni na bomu lililorushwa kwenye baa ya Night Park mkoani Arusha jana wamelazwa katika hospitali ya mkoa Maunt Meru, huku mmoja akiwa amelazwa hospitali inayomilikiwa na kanisa la KKKT ya Selian.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS