Wakandarasi hawahusiki Kuharibika kwa miundombinu

Moja ya madaraja yaliyoharibiwa na mvua zilizonyesha sehemu mbali mbali nchini mwishoni mwa wiki

Wizara ya ujenzi nchini Tanzania imesema kuharibika kwa miundombinu kulikotokana na mvua zilizonyesha kwa siku kadhaa maeneo mbali mbali nchini hakutokani na ubovu au uzembe wa wakandarasi waliojenga miundombinu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS