Gurumo kuzikwa kesho huko Kisarawe

Marehemu Maalim Muhidin Gurumo

Aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya dansi hapa nchini, Marehemu Maalim Gurumo anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho kijijini kwao huko Masaki wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani baada ya kufanyiwa kisomo nyumbani kwake eneo la Mabibo Jijini Dar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS