UKAWA wasisitiza kutorejea kwenye bunge la katiba
Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA) umesema utaendelea na msimamo wao wa kutorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba mpya mpaka yafanyike marekebisho ambayo watakubaliana nayo katika rasmu ya pili ya Katiba mpya.

