Kongamano la wanahabari kufanyika Bagamoyo kesho Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari nchini Tanzania MCT Kajubi Mukajanga. Waandishi wa habari na wadau wa habari wapatao 200 wanatarajiwa kukutana hapo kesho katika kongamano la Mwaka la maadili ya Uandishi wa Habari. Read more about Kongamano la wanahabari kufanyika Bagamoyo kesho