Kocha Serengeti Boys ataka kambi Tukuyu

Wachezaji wa timu za Serengeti boys na Amajambos wakipeana mikono kabla ya mchezo wao wa juzi.

Kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa ya vijana ya Tanzania ya umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys Hababuu Ally ameiomba TFF ihakikishe vijana wake wanaweka kambi ya mapema katika mji au mkoa ambao hali ya hewa inalingana na Afrika kusini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS