Kocha Serengeti Boys ataka kambi Tukuyu
Kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa ya vijana ya Tanzania ya umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys Hababuu Ally ameiomba TFF ihakikishe vijana wake wanaweka kambi ya mapema katika mji au mkoa ambao hali ya hewa inalingana na Afrika kusini
