Wengi kumuunga mkono Mhando

Mwimbaji muziki wa injili nchini Rose Mhando

Wanamuziki wa miondoko ya muziki wa injili wameendelea kujitokeza kumsindikiza mwimbaji nyota wa Rose Muhando katika uzinduzi mkubwa wa albamu yake mpya aliyoibatiza jina ‘Kamata Pindo la Yesu’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS