Usaili Dance 100% kuendelea

Mashindano ya kucheza muziki ya Dance 100% 2014 DSM Tanzania

Zoezi la usaili wa mashindano makubwa ya kucheza nchini Tanzania, Dance100% 2014 linaendelea kwa kishindo ambapo usaili wa pili utafanyika Jumamosi hii ya tarehe 26 mwezi huu kwenye viwanja vya basketball vya Don Bosco Oysterbay.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS