Wanasheria wakutana kujadili tozo mpya ya Dowans

Mkurugenzi mkuu wa LHRC Dkt Hellen Kijo-Bisimba.

Jopo la mawakili, wanasheria na wanaharakati wa haki za binadamu, linakutana jijini Dar es Salaam kujadili maamuzi ya mahakama kuu, ya kutaka kituo cha Sheria na Haki za Binadamu - LHRC kiilipe sh bilioni 2.8 kwa kampuni ya kufua umeme ya Dowans.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS