Ushirikina wakwamisha miradi ya umeme na maji
Miradi ya maji na umeme katika baadhi ya maeneo ya halmashauri ya wilaya ya Chemba imeshindwa kutekelezeka kutokana na imani za kishirikina ambapo wakandarasi wa umeme wamekuwa wakikumbana na nyoka kila wanapochimba kusimika nguzo za umeme.
