Serikali yatakiwa kurahisisha upatikanaji pembejeo

Meneja masoko wa kampuni ya usambazaji mbegu za mazao mbalimbali ya Suba agro, Hamza Msuya.

Wakulima wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe wameiomba serikali kutazama namna ya kurahisisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakulima wadogo ili kuinua kilimo na uchumi wa wakulima hao na kuwafanya kushiriki katika ukuzaji wa uchumi wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS