Wakurugenzi watakiwa kushiriki ujenzi mipango miji
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini.
Wakurugenzi wa Manispaa Nchini wametakiwa kuanzisha Ushirika wa wananchi kwa ajili ya kupanga miji yao wenyewe kwa ajili ya kuboresha miji na majiji kwa haraka hapa nchini.