TUCTA wataka wafanyakazi wapunguziwe kodi

Gratian Mukoba, Rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

Shirikisho la vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam wamemtaka Rais Jakaya Kikwete awasaidie wapunguziwe kodi kubwa wanazolipa wafanyakazi hapa nchini huku wakitaka wafanyabiashara nao walipe kodi kama wafanyakazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS