Kazi haramu 66,000 za wasanii zakamatwa Wasanii wa Tasnia ya Filamu Tanzania JB na King Majuto Wizi wa kazi za wasanii umetajwa kuwa bado ni tatizo katika nchi ya Tanzania suala ambalo linasababisha serikali kukosa mapato na kudidimiza ukuaji wa maisha ya wasanii nchini. Read more about Kazi haramu 66,000 za wasanii zakamatwa