Kazi haramu 66,000 za wasanii zakamatwa

Wasanii wa Tasnia ya Filamu Tanzania JB na King Majuto

Wizi wa kazi za wasanii umetajwa kuwa bado ni tatizo katika nchi ya Tanzania suala ambalo linasababisha serikali kukosa mapato na kudidimiza ukuaji wa maisha ya wasanii nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS