Stars kujiuliza kwa Madagascar michuano ya COSAFA

Baada ya kuanza kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Swaziland katiika michuano ya COSAFA inayoendelea nchini Afrika Kusini, Timu ya Soka ya Tanzania Taifa Stars leo tena inatupa karata yake ya pili dhidi ya Madagascar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS