Wanawake wachimba madini waomba kupunguziwa kodi

Pili Hussein ni mwanamama wa kwanza kuzama katika migodi ya Mirerani na kuchimba madini ambaye kwa sasa ni mmiliki wa kitalu cha madini.

Wanawake wachimbaji wa madini kutoka mikoa ya Tanga,Singida, Manyara na Morogoro wameiomba serikali ipunguze ada ya leseni ya uchimbaji madini ili kuwawezesha kinamama wanaoanza kazi hiyo wasikwame kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS