Lowassa kusaidia wanawake katika sekta ya Afya

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa

Mgombea urais wa chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema Mhe.Edward Lowasa amesema atahakikisha anaimarisha upatikanaji wa huduma muhimu kwa wanawake ikiwa ni pamoja na huduma za uzazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS