Watatu wafariki kwa kipindupindu Kinondoni

Manispaa ya Kinondoni imesema kuwa mpaka leo watu watatu wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu na watu wengine 34 wamebainika kuwa na ugonjwa huo kufuatia kuibuka kwa mlipuko wa ugonjwa huo katika manispaa ya Kinondoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS