Mbunge kuwashtaki wanaozomea wenye nguo za CCM

Mbunge wa Mtwara Mjini Ndugu Hasnain Murji akieleza utekelezaji wa ilani ya CCM ulivyotekelezwa vizuri kwenye mkutano wa hadhara

Mgombea Ubunge wa jimbo la Mtwara mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hasnain Murji, amesema atawafikisha mahakami wananchi watakaothubutu kuwazomea wanachama wa CCM wanaovaa sare za chama na kutembea mitaani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS