Kampeni za Vijembe, Matusi hazina Tija-Mongela Balozi Gertrude Ibengwe Mongela Rais Mstaafu wa Bunge la Africa na Mbunge wa Zamani wa Jimbo la Ukerewe Mh. Getrude Mongela amesema kampeni za vijembe na mipasho hazina tija kwa taifa ambapo hali hiyo inaweza kuvuruga amani. Read more about Kampeni za Vijembe, Matusi hazina Tija-Mongela